Blog about the latest automotive news

HUU NDIO WARAKA KUHUSU UTOLEWAJI WA ELIMU BURE KUANZIA FORM 1-4 JANURAY 2016

Serikali imeamua kutoa elimu pasipo malipo kwa elimu msingi kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne,kuanzia mwaka wa masomo wa 2016.
Azima hii ya serikali ni katika kutekeleza sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuhakikisha kwamba watoto wote wa Tanzania wanapata Elimu bila kikwazo ikiwemo ada au malipo. Katika kutekeleza maamuzi hayo,ada zote zilizokuwa zikilipwa kwa ajili ya elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne zimefutwa.Pia, waraka wa Elimu namba 8 wa mwaka 2011 kuhusu michango shuleni nao pia umefutwa. Aidha, mwongozo wa elimumsingi bila malipo unaandaliwa na utatumwa kwa wamiliki wa shule ifikapo au kabla ya tarehe 15 Disemba 2015. Waraka huu umeanza kutumika tarehe 21 Novemba 2015

fb
[embedded content textile]

twitter
Tweet

google+

linkedin

HUU NDIO WARAKA

Image source: https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGHmCfAgcAx9fUFzXzEfRAfuMn5KgZQ9r5b-ZdVEvqAsTXZaJOZTYcIjn5D5hkHsLvOMP0pnqWeg2ad3Oq2M-K2PWZOgyuNzfb1m2UNSpATWDbx_C7HWBE3z4344F8Tr0o6l9iE70V0lg/s1600/1.jpg

Labels: CAR INSURANCE, DONATE CAR

Thanks for reading HUU NDIO WARAKA KUHUSU UTOLEWAJI WA ELIMU BURE KUANZIA FORM 1-4 JANURAY 2016. Please share...!

0 Comment for "HUU NDIO WARAKA KUHUSU UTOLEWAJI WA ELIMU BURE KUANZIA FORM 1-4 JANURAY 2016"

Back To Top